Mombasa: Mhudumu wa Boda, Abiria Wake Wagongwa na Matatu Runinga Ikipeperusha Matangazo Moja kwa Moja
Kulitanda taharuki na mshangao Mombasa Jumatatu asubuhi baada ya ajali mbaya kati ya boda boda na matatu ya abiria 14 kunaswa moja kwa moja kwenye runinga ya kitaifa