Wahudumu wa afya waanatishia kusitisha huduma baada ya uvamizi wa hospitali Kitengela

1 week ago 220


Miungano ya afya chini ya Health Union Caucus wanatishia kusitisha huduma zao kote nchini kila mara maandamano yanapotokea, wakisema maisha yao yako hatarini. Hatua hii inajiri baada ya tukio la kusikitisha katika hospitali ya Kitengela sub-county ambapo kundi la vijana walivamia hospitali hiyo kwa fujo na kuacha uharibifu mkubwa na taharuki.
Open Full Post