Magazetini, Julai 4: Ndani ya Kanisa la KSh 1.2 Bilioni Linalodaiwa Kujengwa na William Ruto Ikulu
Daily Nation inaripoti kuwa Rais William Ruto anajenga kanisa katika Ikulu ya Nairobi, ambalo litagharimu mlipa ushuru zaidi ya KSh 1 bilioni.......