Zilizovuma wiki hii: Video ya mwanafunzi wa chuo kabla ya kupigwa risasi kwenye maandamano yaibuka
5 days ago
8
Imekuwa wiki ya huzuni sana kwa Wakenya kwani vijana walianza kwa kuandika salamu zao kwenye mitandao ya kijamii. Vijana wengi sana walikufa katika maandamano hayo.