Waziri wa afya anasema anapania kufunga vituo 1000 - Citizen TV Kenya

5 hours ago 220


Wizara ya afya inapania kufunga vituo vya afya elfu moja zaidi, ambavyo havijazingatia kanuni muhimu za utoaji huduma za afya ikiwemo idadi ya vitanda kwa wagonjwa.
Open Full Post