Wauguzi wanagenzi walalamika kokosa nafasi ya kufanya kazi nyanjani

6 days ago 165


Baadhi ya wanafunzi wanaolalamika walihitimu mwaka wa 2019 na 2020. Wanailaumu wizara ya afya na baraza la uuguzi nchini kwa ubaguzi, wakidai kuwa wamepuuzwa licha ya kuwa na utaalamu unaohitajika.
Open Full Post