Washukiwa ishirini kati ya ishirini na mmoja wa wizi wa duka la naivas mjini nyeri jumatano iliyopita wameachiliwa kwa dhamana ya shilingi elfu Hamsini pesa taslimu au bondi ya shilingi laki moja
Washukiwa waliovamia duka la Naivas washtakiwa Nyeri
Washukiwa ishirini kati ya ishirini na mmoja wa wizi wa duka la naivas mjini nyeri jumatano iliyopita wameachiliwa kwa dhamana ya shilingi elfu Hamsini pesa taslimu au bondi ya shilingi laki moja