Wanandoa wa Kisii Wapatikana Wamefariki, Maelezo ya Kutatanisha Yajitokeza

1 day ago 1
Kijiji kimoja cha Kisii kimeachwa na mshtuko baada ya wanandoa kupatikana wamefariki katika nyumba yao kufuatia tukio la kusikitisha la mzozo wa kifamilia.
Open Full Post