Wanajeshi watatu wa Kenya wauawa Lamu kwenye shambulizi la kilipuzi

8 hours ago 1


Wanajeshi watatu wa Kenya wameuawa, huku wengine saba wakiwachwa na majeraha mabaya mwilini, baada ya gari walimokuwa wakisafiria kukanyanga kilipuzi eneo la Badaah, kaunti ya Lamu.
Open Full Post