Wanaharakati kaunti ya Makueni wamewataka wabunge kutupilia mbali msawada unaopendekezwa na mwakilishi wa kike wa kaunti ya Nairobi Esther Pasaris wa kudhibiti maandamano.
Wanaharakati katika kaunti ya Makueni wataka wabunge kutupilia mbali mswada wa Esther Passaris
Wanaharakati kaunti ya Makueni wamewataka wabunge kutupilia mbali msawada unaopendekezwa na mwakilishi wa kike wa kaunti ya Nairobi Esther Pasaris wa kudhibiti maandamano.