Wakazi wa kaunti ya Kakamega wametakiwa kuendeleza desturi ya kupanda miche kwa wingi kama njia mojawapo ya kuhifadhi mazingira na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Wakazi kakamega watakiwa kuendeleza desturi ya upanzi wa miti
Wakazi wa kaunti ya Kakamega wametakiwa kuendeleza desturi ya kupanda miche kwa wingi kama njia mojawapo ya kuhifadhi mazingira na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.