Wafanyabiashara mjini nanyuki wamefanya kikao na idara ya usalama kaunti ya laikipia ili kujadili jinsi biashara zao zitalindwa wakati wa maandamano.
Wafanya biashara Nanyuki wakutana na polisi
Wafanyabiashara mjini nanyuki wamefanya kikao na idara ya usalama kaunti ya laikipia ili kujadili jinsi biashara zao zitalindwa wakati wa maandamano.