Tanzia: Simanzi Baada ya Dada Wawili Kufariki Katika Ajali ya Kusikitisha ya Bodaboda
1 day ago
4
Familia moja huko Mbegwi, Kaskazini Magharibi mwa Cameroon imefikwa na maombolezo kufuatia msiba wa kuwapoteza mabinti zao wawili kwa njia ya kusikitisha.