Takwimu zaonyesha watoto wengi bado wanadhulumiwa - Citizen TV Kenya

10 hours ago 275


Serikali imetamaushwa na idadi kubwa ya watoto nchini wanaopitia aina tofauti ya visa vya dhulma katika jamii na visa hivyo kukosa kuripotiwa katika vituo vya polisi kutokana na mila potovu
Open Full Post