Siaya: Mwanaume aliyepooza kwa miaka 7 aomba msaada wa KSh 450k afanyiwe upasuaji kuokoa maisha

1 week ago 165
Erick Odhiambo alitoa wito kwa Wakenya wenye nia njema kumsaidia kuchangisha KSh 450,000 kwa ajili ya upasuaji wa uti wa mgongo kuokoa maisha yake.
Open Full Post