Wizara ya afya, kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Nandi pamoja na mashirika mengine imeanzisha mchakato wa chanjo ya siku 10 dhidi ya ugonjwa wa homa ya matumbo pamoja na surua.
Serikali ya Nandi yaanza kutoa chanjo ya Surua
Wizara ya afya, kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Nandi pamoja na mashirika mengine imeanzisha mchakato wa chanjo ya siku 10 dhidi ya ugonjwa wa homa ya matumbo pamoja na surua.