Serikali ya Kitaifa na ya Kaunti ya Narok zimetoa onyo kali dhidi ya vijana kutumia fursa za maandamano kupora mali na kusambaratisha amani.
Serikali ya kaunti ya Narok zatoa onyo kali dhidi ya vijana kutumia fursa za maandamano kupora mali
Serikali ya Kitaifa na ya Kaunti ya Narok zimetoa onyo kali dhidi ya vijana kutumia fursa za maandamano kupora mali na kusambaratisha amani.