Sammy Ondimu Amtafuta Mwanaume Aliyemnasua Askari wa Kike Mikononi mwa Waandamanaji Waliochemka
2 days ago
7
Afisa wa polisi Sammy Ondimu ameanza kumtafuta mwaandamanaji aliyeokoa maisha ya Konstebo Emily Kinya wakati wa maandamano jijini Nairobi mnamo Juni 25.