Raila Odinga Amkemea Waziri Murkomen kwa Kuwaagiza Polisi Kuwapiga Raia Risasi: "Shame on You"
1 day ago
6
Kiongozi wa ODM Raila Odinga amekemea vikali matumizi ya nguvu ya kupindukia na silaha za mauti na polisi wakati wa maandamano ya hivi majuzi yaliyoongozwa na Gen Z.