Nyamira: Wakazi Wateketeza Kituo cha Polisi cha Itibo Baada ya Askari Kumpiga Risasi Mwanafunzi

6 days ago 3
Wanafunzi kutoka Nyamira National Polytechnic walikuwa wakiandamana wakilalamikia barabara mbovu, ukosefu wa umeme na utawala mbaya wakati tukio hilo lilipotokea.
Open Full Post