Nigeria: Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili Ahukumiwa Kifo kwa Kumuua Mpenziwe

5 days ago 9
Mwimbaji wa nyimbo za injili amepatikana na hatia ya kumuua na kumkata vipande msichana mwenye umri wa miaka 24 ambaye alikuwa akichumbiana naye kwa mwaka mmoja
Open Full Post