Nairobi: Afisa wa Polisi Apatikana Amefariki Katika Mtaro Mtaani Lucky Summer
14 hours ago
5
DCI wameanzisha uchunguzi kufuatia kifo cha afisa wa polisi aliyepatikana amefariki kwenye mtaro karibu na uzio wa Kituo cha Polisi cha Lucky Summer, Nairobi.