Nadia Mukami atoa taarifa kuhusu hali ya Arrow Bwoy aliyetiwa jereha na polisi katika maandamano
3 days ago
9
Arrow Bwoy alicharazwa mijeledi na afisa wa polisi wakati wa maandamano ya Juni 25. Alisema anaenda hospitali kusaka matibabu. Nadia Mukami alizungumzia hali yake