Mutahi Ngunyi Amkemea William Ruto Kuhusu Jinsi Anavyoshughulikia Maandamano: "Umekuwa Mpole Sana"
Mutahi Ngunyi amkosoa Rais William Ruto kwa mwitikio dhaifu dhidi ya maandamano ya kitaifa, akimtaka kuchukua hatua kali kudhibiti hali joto nchini.