Mke alia kwa uchungu baada ya mume kuuawa wakati wa Saba Saba: "Alikuwa ameenda kununua credit"
Familia mbili ziliomboleza vifo vya jamaa zao vilivyotokea mnamo Jumatatu, Julai 7 wakati wa maandamano ya kitaifa ya Saba Saba. Walipigwa risasi.