Miradi yakwama Samburu - Citizen TV Kenya

17 hours ago 55


Viongozi wa kaunti ya Samburu wameirai serikali,kutoa fedha zote kwa wanakandarasi ili kuwaezesha kukamilisha miradi mbalimbali wanayotekeleza, kama vile miradi ya ujenzi wa barabara ambayo wananchi wamekuwa wakikosoa kuwa inajikokota
Open Full Post