Mashine 35 za kamari zimeteketezwa Tharaka Nithi

1 week ago 220


Kamishna wa Kaunti ya Tharaka Nithi, David Gitonga, pamoja na Kamanda wa Polisi wa Kaunti hiyo, Zaccheus Ng'eno,waliongoza zoezi la kuteketeza mashine 35 za kamari zilizokamatwa katika operesheni dhidi ya michezo ya kamari
Open Full Post