Mama Achanganyikiwa baada ya Mochari Kukataa Kupokea Mwili wa Mwanawe Aliyeuawa Katika Maandamano

1 week ago 3
Ann Nyawira alieleza kuwa mwanawe, Brian Kimutai, mwenye umri wa miaka 21, alipigwa risasi na kuuawa Jumatatu, Julai 7, wakati wa maandamano ya Saba Saba.
Open Full Post