Magazetini, Julai 1: DCI Yaashiria Kumkamata Rigathi Gachagua Kuhusiana na Ghasia za Juni 25
20 hours ago
1
Mkurugenzi wa DCI, Mohamed Amin, ametangaza kwamba aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua atakamatwa iwapo atapatikana kuwa mfadhili wa ghasia za Juni 25.