Magazetini: Baadhi ya Polisi Wakataa Vikali Amri ya Murkomen ya Kuwapiga Risasi Raia
2 days ago
3
Agizo la Waziri Kipchumba Murkomen la kuua kwa risasi ilizua ghadhabu na kuleta taharuki ndani ya huduma ya polisi huku maafisa wa ngazi za juu na chini wakihusika.