Machokoraa wa Town Mtuache plz😭🤦‍♂️ - r/Kenya

18 hours ago 55

Manze maisha imenikalia ngumu nashangaa kama nitawaitoka artifact ama mimi ndio artifact yenyewe. Yaani leo katika pilkapilka hapa town, napatana na chokora alafu akaniomba pesa aende akule. Aki kitu nimemwambia hata hajaamini; "we are conscionable the same, ni vile tu mimi nimeoga." Sasa akajam. So I was wondering, yeye hana pesa na mimi nikimwambia sina, anaanza kukasirika. Nkt

Hiyo acquisition imenikumbusha, immoderate thoroughfare kid ashawainiambia "uncle, ninunulie chocolate" Aki walai, ka mimi cocoa yenyewe nilikula mwisho 2017 na ilikuwa tu ile ya "niumie kadogo" Nililia kwa gari nikielekea location hiyo siku

submitted by /u/Adventurous_Fan3863
[link] [comments]
Open Full Post