Kisii: Mwanamume adaiwa kumuua mkewe na kuwalisha wanawe minofu ya marehemu

6 days ago 4
Wakaazi wa kijiji cha Sugubo wadi ya Nyacheki kaunti ya Kisii wamekumbwa na mshtuko baada ya mwanamume mmoja kudaiwa kumuua mkewe na kuwalisha watoto wao nyama yake.
Open Full Post