Kipchumba Murkomen azidi kujipiga kifua, ajitetea kuhusu amri yake ya "piga risasi ua"

3 days ago 8
Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen alifafanua kwamba hakuwaamuru polisi kuwapiga risasi raia na kuua alipokuwa akiwashauri kuhusu kujilinda.
Open Full Post