Waziri wa kilimo mutahi kagwe ameonya kuhusu kuchipuka kwa magenge ya wahalifu wanaotumia maandamano kuharibu na kuiba mali ya watu.
Kagwe akashifu uharibifu na wizi wakati wa maandamano
Waziri wa kilimo mutahi kagwe ameonya kuhusu kuchipuka kwa magenge ya wahalifu wanaotumia maandamano kuharibu na kuiba mali ya watu.