Jumba la Kiuna: Picha 6 za Nyumba ya Kifahari ya Runda Inayomilikiwa na Waanzilishi wa JCC
Askofu Allan Kiuna na mkewe, Kathy, waliishi katika jumba kubwa la kifahari la Runda ambalo wakati fulani waliwafungulia waumini wa kanisa hilo kuzuru.