Geoffrey Mosiria Ashtushwa na Madai ya Mvulana wa Mtaani Kuwa Alilipwa Kubeba Maiti
4 days ago
3
Afisa Mkuu wa Mazingira wa Nairobi, Geoffrey Mosiria, alishangazwa baada ya mvulana wa mtaani kudai kuwa alikuwa amelipwa kwa kubeba miili ya wafu hadi mochari.