Gachagua, wakuu wengine wa upinzani wapigwa mawe Bungoma lakini wakaa sugu: "Kitale lazima tufike"
Mvutano wa kisiasa ulitibuka huko Bungoma huku viongozi wa upinzani wakipigwa mawe safarini kuelekea Kitale. Msafara wao ulishambuliwa na watu wenye silaha.