Familia ya Limuru Yamsaka Jamaa wa Miaka 30 Aliyetoweka Wiki 2 Zilizopita Baada ya Kufika Kazini
Familia ya Francis Wokabi Wanjiku inaomba msaada kumtafuta kijana wa miaka 30 aliyetoweka kwa wiki kadhaa sasa. Wokabi alipotea muda mfupi baada ya kuripoti kazini