Familia ya Eldoret Yaomboleza Kifo cha Mwanao Aliyeuawa na Polisi: "Alikuwa Anatoa Choo Kwa Mdomo"
Familia moja Eldoret inaomboleza kifo cha mwanao, 34, aliyefariki kutokana na risasi baada ya kunaswa kwenye makabiliano ya maandamano ya Juni 25.