Familia ya Boniface Kariuki Yasononeka Kutokana na Madai ya Charles Owino Kumhusu Mwanao
1 day ago
1
Familia ya muuzaji wa barakoa aliyeuawa, Boniface Kariuki, imetoa majibu kwa madai yaliyotolewa na msemaji wa zamani wa polisi, Charles Owino, kuhusu mwana wao.