Eric Omondi Akutana na Babake Albert Ojwang na Mjane Nevnina Katikati ya Mzozo wa Fedha
3 days ago
4
Familia ya Albert Ojwang ilifanya ibada ya kumuenzi mnamo Jumatano, Julai 2, katika Kanisa la Ridgeway Baptist katika hafla iliyojaa majonzi na wito wa haki.