Boniface Kariuki: Wakenya Wavunjika Moyo Kufuatia Kifo cha Mchuuzi wa Maski Aliyepigwa Risasi CBD
2 days ago
10
Boniface Kariuki, muuzaji wa barakoa aliyepigwa risasi kichwani na afisa wa polisi wakati wa maandamano ya kutafuta haki ya Albert Ojwang’, amefariki dunia.