Boniface Kariuki: Mamake Muuza Maski Aliyeuawa Azimia Baada ya Kuutazama Mwili wa Mwanawe
Kariuki alifariki akiwa KNH baada ya kupigwa risasi na polisi aliyemkuta akiuza barakoa kando ya Barabara ya Moi katikati mwa jiji la Nairobi wakati wa maandamano