Boniface Kariuki: Mamake Muuza Maski Aliyeuawa Azimia Baada ya Kuutazama Mwili wa Mwanawe

1 week ago 275
Kariuki alifariki akiwa KNH baada ya kupigwa risasi na polisi aliyemkuta akiuza barakoa kando ya Barabara ya Moi katikati mwa jiji la Nairobi wakati wa maandamano
Open Full Post