Babake Albert Ojwang' kwa Uchungu Awaachia Ujumbe Mzito Waliomuua Mwanawe: “Hawatakuwa na Amani"
3 days ago
4
Kanisa la Ridgeways Baptist liligubikwa na huzuni Julai 2 huku waombolezaji wakikusanyika kwa ibada ya heshima ya mwisho ya blogger aliyeuawa, Albert Ojwang