Babake Albert Ojwang' Atoa Maelezo Kuhusu Mazishi ya Mwanawe, Afichua Alipoteza Kitambulisho
4 days ago
5
Baba Ojwang alifichua kuwa ibada ya wafu ya mwanawe, ambaye alikuwa bloga na mwalimu mwenye umri wa miaka 31, itafanyika katika Kanisa la Ridgeways Baptist, Nairobi