Albert Ojwang: Taharuki Wanafunzi wa Mawego Polytech Wakibeba Mwili wa Bloga Hadi Kituo cha Polisi
1 day ago
1
Mwili wa Albert Ojwang umerejeshwa Homa Bay, ukiombolezwa na maelfu ya watu, wakiwemo wanafunzi, ambao waliteta kufuatia kifo chake mikononi mwa polisi.