Albert Ojwang: Taharuki Wanafunzi wa Mawego Polytech Wakibeba Mwili wa Bloga Hadi Kituo cha Polisi

1 day ago 1
Mwili wa Albert Ojwang umerejeshwa Homa Bay, ukiombolezwa na maelfu ya watu, wakiwemo wanafunzi, ambao waliteta kufuatia kifo chake mikononi mwa polisi.
Open Full Post