Albert Ojwang': Hisia zachemka huku mwili wa bloga aliyeuawa ukiwasili kanisani kwa misa ya wafu

3 days ago 3
Misa ya wafu ya Albert Ojwang ilibadilika na kuwa yenye hisia tele huku mashaka juu ya sababu ya kifo chake yakiongezeka. Tangu kuuawa kwake watu kadhaa wamekamatwa.
Open Full Post